Breaking News
recent

Ronaldo aanza mazoezi kwa mara ya kwanza baada ya kusajiliwa Man United

 

Mshambuliaji mpya wa Manchester United @cristiano tayari ameanza mazoezi yake ya kwanza na wachezaji wenzake wa Mamchester United.

Haya ni mazoezi ya kwanza kabisa kwa Ronaldo tangu ajiunge na Manchester United na huenda akaanza katika mtanange wa wikendi hii dhidi ya Newcastle United.

Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.