Breaking News
recent

Baba mzazi wa Will Smith Afariki Dunia

Baba mzazi wa mwigizaji mkubwa duniani Will Smith bwana Willard Carroll Smith Sr. amefariki dunia. Taarifa hizi zimetolewa na aliyekuwa mke wake Sheree Fletcher, kupitia Instagram November 7.
Fletcher, 48, aliweka picha instagram ya Will Smith na Baba Yake mzazi. Baba yake Will Smith alikuwa akiishi mjini Philadelphia na alikuwa fundi maarufu wa majokofu.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.