Rapper wa Marekani, Future, ametangazwa kuwa msanii wa nje ya Afrika atakayetumbuiza kwenye tuzo za MTV MAMA, Oktoba 22.
Future ataungana na Alikiba na Diamond na wasanii wengine wa Afrika
kwenye orodha ya wale watakaotumbuiza jioni hiyo jijini Johannesburg.
“We are proud to announce that @1future will be joining for the
#MTVMAMA2016!!! #FutureMTVMAMA,” wameandika MTV Base kwenye Twitter.
Rapper huyo ambaye jina lake halisi ni Nayvadius DeMun Wilburn ana
album nne hadi sasa, Pluto (2012), Honest (2014), DS2 (2015) na EVOL
(2016).

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment