Breaking News
recent

Will Smith atoa sababu za kupiga chini dili la kuigiza Django Unchained,filamu ilikosewa nini..

Mwigizaji mkongwe Will Smith ametoa sababu za kukata kuigiza filamu ya muongozaji mkubwa Marekani Quentin Tarantino ‘Django Unchained’.

Will Smith anasema “ Nilitaka kutengeneza filamu kali sana ya mapenzi ambayo Marekani haijawahi kuona ila sikuelewana na muongozaji kutokana na mambo yaliyowekwa kwenye filamu hio ” .
Will Smith anasema ” Filamu iliandaliwa vizuri sana ila sikupenda mambo ya fujo,kupigana na mauwaji kwenye filamu hio, sipendi mambo ya mauwaji na vita kwenye filamu, hata unaona kilichotokea Ufarasa hivi karibuni “.
Willalimalizia kwa kusema “alitaka ilwe filamu ya mapenzi, ya kijana anayepigania penzi lake na sio mauwaji na visasi” .
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.