Breaking News
recent

Majambazi waua Arusha.. hii ni june 1 2014

Mwandishi wa habari wa Arusha255 ametoa ripoti fupi kwamba majambazi waliingia kwenye duka moja la kubadilishia fedha Clock tower karibu na house of wine Arusha mjini ambapo kifo cha huyu ndugu kilitokana na yeye kupiga kelele baada ya kuona majambazi hao wakitenda uhalifu.
Japo inasubiriwa ripoti kamili ya Polisi leo, taarifa za mwanzo zinasema Marehemu alipiga kelele hizo muda mfupi tu baada ya kutoka kanisani na akawa anasubiri watoto wake kwenye eneo la tukio ila alipoona dada ndani ya duka kavamiwa ndio akaanza kupiga kelele za kuomba msaada.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.