Breaking News
recent

Picha, Haya magari 9 ya kifahari Anayomiliki Bondia Floyd Mayweather

Ni kazi yangu Mohamedjaku kukupa habari za mastaa na maisha yao kila siku na wakati wote. Ukiwa mtaani ukamuuliza mtu bondia bora duniani unayemkubali ni nani ? lazima atatajwa Muhammad Ali au Mike Tyson, ila kwa kizazi hichi kwa sasa ni Floyd Mayweather.
Ameshinda mabambano mengi ya uzito na division tofauti duniani na mwaka 2013 alitajwa miongoni  mwa wanamichezo wanaotengeneza pesa nyingi zaidi kwa kuingiza dola za Kimarekani milioni 147 kwa mwaka.
Kampuni inayofuatilia magari na wamiliki wake wamepiga picha za magari anayomiliki Floyd Mayweather ikiwemo ya mwaka 1996 Mercedes-Benz S600.

Kutokea kushoto hio ni Rolls Royces na Bentleys, Bugatti Veyron yenye thamani ya dola milioni moja, Ferrari 458 Spyder, Lamborghini Aventador, Ferrari 599 na kwa mbele ni S600. Powered By www.mohamedjaku.blogspot.com
 Asanteni kwa kutembelea mohamedjaku.blogspot.com, kwa Habari na Exclusive Story za Burudani ,Michezo, Maisha na Siasa Muda wowote mohamedjaku.blogspot.com – Asante kwa kunifuatilia facebook.com @Mohamed Jaku |Twitter @Muddybway | Instagram.com @jaku_santanah
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.