Breaking News
recent

Hiki ndicho alichokisema Diamond baada ya wimbo wake "Kitorondo" kuvuja

Kale ka mchezo ka watu kuvujisha nyimbo za wasanii kwenye mitandao tena zikiwa hazijakamika kamemkuta tena Msanii Diamond Platnumz.

Wimbo wa Diamond unaoitwa Kitorondo umevuja na kusambaa kwa kasi kupitia blogs mbali mbali pamoja na mitandao ya kijamii. hiki ndicho alichokisema

Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.