Breaking News
recent

Picha, Baada ya Ushindi wa Chelsea Peter wa P Square aonesha rangi zake

Ni baada ya Chelsea FC kutinga nusu fainali ya champions league baada ya kuitandika club kutoka ufaransa PSG kwa magoli 2-0 na aggregate ya 3-3 kwahiyo kupita kwa goli la ugenini lililofungwa na Eden Hazard kwa njia ya penalti huko jijini Paris wiki mbili zilizopita. Hebu angalia picha hizo hapa...

Na hii ni ya mda kidogo

Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.