Breaking News
recent

Nikki Mbishi: Tamko rasmi mwezi ujao

Rappa mashuhuri aliyetamba sana na ngoma yake ya ‘Play Boy’ anayejulikana kwa jina la Nkki Mbishi ambaye hivi karibuni aliachia ngoma iitwayo ‘Utamwambia Nani’ambayo inafanya vizuri mpaka sasa.


Nikki Mbishi aliongea na chombo flani cha habari na kusema “kwa sasa sijatarajia kutoa ngoma yeyote ile ila natarajia kuingia tena studio hivi karibuni na tamko rasmi nitalitoa mwezi ujao kuhusu nini kinaendelea,kwa muda huu siwezi kusema chochote kuhusu ngoma hiyo.” alisema Nikki Mbishi
Hata hivyo rappa huyo hakuweza kuongea mengi zaidi kwa sababu anapika mangoma kibao kwa ajili ya kuwapa ma-fans wake burudani kwenda mbele.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.