Breaking News
recent

Simu, IPad, Tablet zimeanza kuruhusiwa kutumika kwenye Ndege

Kama wengi wanavyojua kwamba kutumia simu au vifaa vingine vya electronics ni mwiko kutumika kwenye ndege, sasa kampuni ya Virgin Airlines imeanza kuruhusu utumiaji wa simu kwanzia unapoanza safari hadi unapotua.


Kampuni ya Virgin imekuwa ndege ya kwanza huko Marekani kuruhusu matumuzi ya simu au tablet kwenye ndege.

Baada ya FAA kusema kwamba mawimbi ya simu hayana madhara yoyote pale ndege zinapoaanza kupaa na kutua imepelekea makampuni mengi ya ndege kuanza kubadilisha vigezo na masharti ya ndege zao.
Delta, JetBlue, American, United, Alaska, US Airways, Southwest Airlines, and now Virgin America kwa pamoja wamelegeza masharti kuhusiana na matumizi
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.