Breaking News
recent

H Baba na Flora Mvungi wajaaliwa mtoto wa kike

Msanii H Baba na mkewe Flora Mvungi wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana jioni majira ya saa 12:30 katika hospitali ya Maria Stope iliyopo Mwenge jijini Dar es Salaam.

Kama unakumbuka hapo awali H Baba alisema kama akifanikiwa kupata mtoto wa kike au kiume basi atampa jina 'Tanzanite' hatimaye amefanikiwa kupata wa kike na kumpatia jina la Tanzanite.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.