Breaking News
recent

Wasichana wawili wa kizungu wamwagiwa Tindikali (Acid) huko Zanzibar

Wasichana wawili kutoka uingereza Katie Gee and Kirstie Trup, wenye umri wa miaka 18 wamejeruhiwa vibaya na acid baada ya watu wawili wasio fahamika kuwamwagia usoni halafu kukimbia na pikipiki.

Website ya telegraph iliandika kwamba wasichana hawa walimwagiwa acid siku chache baada ya kuingia kwenye ugomvi na muuza duka ambaye ni mkazi kutoka Zanzibar.
The teenagers are due to fly back to the UK overnight and are expected to be taken to hospital for further treatment when they arrive home.

 The teenagers from north London were teaching at the St Monica nursery school, linked to the Catholic church, whilst volunteering for a charity called Art in Tanzania after finishing their A-levels.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.