Breaking News
recent

Stamina kuachia ngoma mpya soon

Msanii wa Hip hop Stamina anatarajia ku- release new single mwezi huu tarehe 24. The song is titled “Mwambie mwenzio” akishirikishana na mkali wa Hip hop “Darasa” pamoja na mwanadada "Wada" ambae ni mgeni katika ulimwengu wa muziki.

Stamina amepanga kuachia ngoma hiyo tarehe 24 siku ya kumbukumbu kwa Mama yake mzazi ambaye alifariki tarehe kama hiyo.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.