Picha + Video: Zaidi ya watu 70 wapoteza maisha katika ajali mbaya ya treni iliyotokea nchini Hispania Mohamed Jaku 6:37 PM Mohamed Jaku Ajali mbaya ya treni iliyotokea kaskazini magharibi mwa Hospania imesababisha vifo vya watu 77 na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa. Ajali imetokea mjini Galicia na treni ilikuwa na abiria 230. Baadhi ya majeruhi Majeruhi Shughuli za uokozi zikiendelea Na hii ndio video jinsi ajali ilivyotokea Twitter Facebook Google Tumblr Pinterest
No comments:
Post a Comment