Breaking News
recent

Photoz: Uzinduzi wa wimbo wa "Kwa Mafans" wa Nyandu Toz na Birthday Party yake

Hivi ndivyo ilivyokuwa pande za maisha club siku ya jumapili wakati msanii mkali wa miondoko ya Hip Hop Nyandu Toz akiwa anazindua wimbo wake mpya “kwa mafans”.
Party haikuishia hapo, Nyandu Toz was also celebrating his birthday on that day. Wasanii wakali kama Quick Rocka, Izzo Business, Dully, Young Killer walitoa show kali kwa mashabiki.

 Nyandu akiperform
Keki
Nyandu akiwa amepozz na mshkaji
Dully Sykes nae alikuwepo
Hemedy PHD akifanya yake stejini
Izzo Bizness na Quick Rocka wakipagawisha watu
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.