Breaking News
recent

Baada ya kushinda tuzo ya BET ya msanii bora wa kimataifa (Afrika), Ice Prince sasa kupiga collabo na msanii huyu

Msanii bora wa Kimataifa kutoka Afrika kwa mujibu wa tuzo za BET 2013, Ice Price kutoka nchini Nigeria, anatarajia kufanya ngoma ya pamoja na French Montana kutoka Marekani, Kazi ambayo inatarajiwa kuwa moja ya hits za ukweli sana hasa ukizingatia uwezo wa wasanii hawa wawili.

 Ice Prince na French Montana

Ice Prince ambaye hivi sasa yupo ziarani nchini Marekani bado hajaweka wazi taarifa zaidi kuhusu wimbo huo ambao hivi sasa wakali hao wanaufanyia kazi studio.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.