Kupitia mtandao wa Instagram leo hii, masanii anaefanya vizuri na
kukubalika zaidi na vijana kutoka Nigeria, Wizkid, ameonyesha cover ya
wimbo wake pamoja na kuachia single aliofanya na mkali wa kitambo,
aliejiwekea heshima katika mziki unaozungumzia zaidi maisha halisi ya jamii inayomzunguka huku akikemea mabaya yanayoendelea katika jamii yake na Africa kwa ujumla, licha ya hayo Kuti alishawahi kufanya collable na wasanii wakubwa kibao kutoka Marekani kama Common, Mos Def, na Jaguar Wright, katika album yake ya 2001 "Fight To Win"
aliejiwekea heshima katika mziki unaozungumzia zaidi maisha halisi ya jamii inayomzunguka huku akikemea mabaya yanayoendelea katika jamii yake na Africa kwa ujumla, licha ya hayo Kuti alishawahi kufanya collable na wasanii wakubwa kibao kutoka Marekani kama Common, Mos Def, na Jaguar Wright, katika album yake ya 2001 "Fight To Win"
No comments:
Post a Comment