Chance hiyo ilipatikana siku ya Jumanne walipotoa suluhu na Charlton.
Malky Mackay ambaye ni kocha wa cardiff amepata furaha kubwa baada ya
kuiongoza Cardiff mpaka kupata nafasi ya kwenda kucheza Premier League
Pia Malky Mackay aliweza kutoa shukrani zake kwa mashabiki na kusema
Pia Malky Mackay aliweza kutoa shukrani zake kwa mashabiki na kusema
“They have backed me and the team in the last 18 months and for that
I’ll be forever grateful. I hope this goes a little way to repaying the
backing they have given me since I came in.”
No comments:
Post a Comment