Breaking News
recent

Diamond: Penny sio tu Mpenzi wangu, anaelekea kuwa mama watoto wangu

AMNUNULIA GARI LENYE THAMANI YA SHILINGI MILLIONI 15.

NI KWAAJILI YA MIZUNGUKO YA KLINIKI, OFFISINI, NA KWINGINEKO.

ASEMA SI VIZURI KUGOMBANIA PRADO AU GARI LA MAMA NASEEB.



Baada ya kukana kutokuwa na uhusiano wa kimapenzi na mtangazaji wa Tv Penny katika moja ya interview aliyoifanya na kipindi cha xxl, leo hii kupitia kwa Gossip Cop wa u heard ya xxl Diamond amekubali kuwa ni kweli Penny ndio mpenzi wake na anatarajia mtoto nae (Penny ni mjamzito), na ameamua kumnunulia gari kwa ajili ya kumsaidia kwenye mizunguko ya kliniki ofisini na shughuli zingine
 " yaaa thatsssssss, unajuaaaaaa, mmmmhhhhh, yah thats true thats true unajua sa sio tu ni mpenzi wangu, anaelekea kuwa mama watoto wangu, kwasababu ya mizunguko ya kwenda clinik na nini ikawa sio vizuri kujitia kwenye madaladala au kuanza kugombania prado  hiyo hiyo au achukue gari ya mama Naseeb au nini unajua, kwahiyo nikaona nivizuri nikimnunulia gari yake yeye ambayo atakua anaendea clinik na sehem zingine"
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.