Akichonga na Mohamedjaku blog Aika amesema sababu ya iliyomfanya ajitoe kundini ni kutokuwa na maelewano mazuri ndani ya kundi hilo na kuongeza kuwa Nahreel ni Solo Artist so wasilaumiwe kwa uamuzi wao na mapenzi yao yasihusishwa na kujitoa kwao katika kundi.
Nahreel na Aika wanatarajia kuachia ngoma yao ya kwanza wakiwa kama Solo Artists Siku ya Valentine mapema mwezi huu.
No comments:
Post a Comment