Breaking News
recent

Jinsi Samsung ilivyoishinda iPhone kwenye mauzo mwaka huu

Kwa miaka miwili iliyopita kampuni ya Apple imeshika soko la teknolojia na kuwa kampuni inayoongoza kutokana na bidhaa zao kama Iphone na imeshinda na kuwa ya kwanza katika tafiti mbalimbali lakini mwaka huu mpinzani wa Apple, Samsung ameongoza na kuwa wa kwanza baada ya utafiti kufanywa kuhusu aliefanikiwa kwa mauzo na kushika soko la bidhaa hizo za teknolojia.
Bidhaa iliyowapa nguvu ni galaxy s3 imeshinda baada ya utafiti kufanywa hivyo imetangazwa kama ni smartphone of the year 2012 ambapo utafiti uliofanywa unaonyesha katika katika miezi mitatu ya mwaka huu Julai, Agosti na Septemba Samsung wameuza simu milioni 18 za s3 na Iphone wameuza milioni 16.2.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.