Kutoka A town city tunakutana na Weusi ni moja kati ya makundi ya Hip Hop yanayotikisa huu muziki wa hapa Bongo Land hata nje ya Bongo Land.Nafahamu kwamba kila mmoja alikuwa anajiuliza kuhusiana na video yao ya PEA
sasa basi video imetoka na ni bonge la video kweli weusi wametisha
mbayaaaa ebu fanya kama una click hapo chini halafu uone jinsi wakali
hawa wana haki ya kupewa heshimu katika muziki huu wa Hip Hop.

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment