Breaking News
recent

Naj kuingia katika tasnia ya Filamu - "Bongo Movie"


Baada ya kukaa kwa muda mefu pande za UK na hivi majuzi kuingia kwenye ardhi ya Jakaya, Najma Dattan commonly known as Naj aamua kuingia kwenye tasnia ya filamu za kibongo maafufu kama Bongo Movies.
Msanii huyu ambaye ameshafanya ngoma kali katika upande wa Bongo flavour kama “Dont Let Me Go” akiwa na X-boyfriend wake Herry Sameer alias Mr.Blue na sasa anatamba na ngoma iitwayo “Lets Dance” aliyompa collabo mkali AY, rasmi amuamua kuingia kwenye kiwanda cha movie za Bongo.
Latest Infoz toka kwa Naj ni kuwa ameshafanya mazungumzo na kampuni inayokgwenda kwa jina la Rj Company iliyo chini na Vicent Kigosi alias Ray kuanza kufanya movie hiyo. Movie hiyo inaitwa “Superstar” na siku ya kesho ndio wataingia kampini kwa ajili ya kuanza kushoot movie hiyo.
Hivyo mashabiki wa Naj mkae mkao wa kula kuona kama msanii huyu ataweza kukinukisha vizuri kwenye upande wa filamu kama alivyoweza kufanya poa kwenye music.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.