Breaking News
recent

Mabeste kuja na ngoma yake mpya iitwayo "Dole"


Msanii toka studio za B’Hits Music Group Tanzania, Mabeste Venance alias Mabeste baada ya kutamba na ngoma zake kali kama “Baadae sana” na “Sirudi tena” aliyompa collabo mkali Jux sasa ajaandaa na kutoka na ujio mpya.
Huu utakuwa ni muendelezo wake  wakutoa ngoma kali aweze kuwapa mashabiki wake muziki mzuri wa hapa Tzee na nje ya mipaka. Plan yake ni kutoa single hiyo mpya week mbili zijazo ambayo itaitwa “Dole” huku mpango mzima ukiwa umesimamiwa na producer Pancho Latino ndani ya studio za B’Hits.
Mabeste kwa sasa anatamba na video yake ya “Sirudi Tena” kwenye vituo mbalimbali vya televison za hapa bongo kwa kzai nzuri iliyofanywa na Director Hassan Kundamayi alias HK kutoka HK Vision.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.