Breaking News
recent

Gari la Ommy Dimpoz laibiwa vifaa mbali mbali na mtuhumiwa ni Lord Eyes

Jana mida flani ya mchana msanii Ommy Dimpoz alifunguka na kusamba baadhi za  picha ambazo zinaonyesha gari lake aina ya Rav 4 likiwa limeibiwa vifaa mbali mbali kuanzia power window navinginevyo na huku akimtuhumu kuwa mwizi aliefanya kitendo hicho ni msanii mwenzake kutoka kundo ka Nako 2 Nako Lord Eyes

Huu ndiyo ushahidi aliokuwa akiutuma kupitia mtandao wa twitter ambao unaonyesha kwamba
mtu mzima Lord eyez amehusika


 Na tweets nyinginezo ni hizi:-

Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.