Breaking News
recent

Serengeti Fiesta Dodoma 2012 Bhaaaaaaaaaasss...!

                          AT mkali wa miduara akiwazungusha mashabiki wake wa dodoma
                  Bongo movie nao walikuwepo, kutoka kulia JB, Wema Sepetu na Aunt Ezekiel
             Ray the Greatest akilisakata sebene kwenye jukwaa la serengeti fiesta dodoma 2012
 
Mbunge wa Dodoma Mh.Dr. Rehema Nchimbi akimtangaza mshindi aliyejishindia gari aina ya Vitz
                          Linah akiwaburudisha mashabiki wake wa Dodoma waliojitokeza
                            Mkali wa R&B anaejulikana kwa jina la Ben Pol naye alikuwepo
                The hitmaker wa Mdananda na Nidanganye baba Kyla a.k.a Shetta akiwajibika
                     Rich Mavoko akitumbuiza katika jukwaa la serengeti fiesta dodoma 2012
         Msanii wa kike anayetamba na kibao chake cha Nivute kwako Dayna naye alisababisha
     Wakazi kibao wa dodoma walijitokeza kwenye tamasha la serengeti fiesta 2012 mkoani humo
                Mtoto mzuri Recho pia alikuwepo akawapa watu kizunguzungu na upepo wake
                  Kutoka Supa Nyota ni Young Killer kwa stage ya serengeti fiesta dodoma 2012
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.