Breaking News
recent

Mcheki Chris Brown na tattoo yake mpya


Msanii anayefanya vizuri sana katika game la muziki wa R&B kutoka  pande za state.Huyu si mwingine anafahamika kwa jina la Chris brown.Msanii huyu siku za hivi karibuni alionekana amepiga new tatoo katika shigo yake.tatoo hiyo ilizua sana maneno kutoka kwa watu kwamba ni sura ya msanii ambaye anafanya game la muziki American anafahamika kwa jina la Rihanna
 Na hii ndiyo tattoo aliyoichora Chris ambayo inasemekana kamchora mwanadada Rihanna, hata mdau ukiangalia c unaona wanavyofanana...?
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.