Jay Z, Rihanna na kundi la Coldplay watatumbuiza kwenye sherehe za kufungwa kwa olimpiki ya watu wenye ulemavu jumapili ijayo 09/09/2012 jijini london Uingereza.
Gazeti la Daily Mirror linasema kuwa kiongozi wa Coldplay Chris Martin ndiye aliyemshawishi Jay Z kushiriki.
Vyanzo vinasema show hiyo inategemea kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa wanamuziki hao na kwamba sherehe hizo za ufungaji za Paralympic zitafana kuliko miaka ya nyuma.
Bongo Forest
Jay-Z
Rihanna
Jay-Z na Rihanna kutumbuiza sherehe za ufungaji wa Paralympics (London 2012)

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment