Breaking News
recent

Alichokiandika Diamond kuhusu birthday ya Wema Sepetu

Tunafahamu kwamba mwana dada sepetu jana ilikua siku yake ya kuzaliwa sasa bhana mtu mzima Diamond wa wasafi amefunguka katika website yake  kama ifuatavyo""Happy Birthday Sepetu wa Sepetunga"....coz kiukweli ni mtu ambae kwa namna moja au nyingine anamchango mkubwa sana katika Mafanikio yangu hadi kufikia hapa nilipo, Sikuzote amekua akinipa Moyo, Motisha,Nguvu na kunisupport kwa hali na mali ili tu niweze kufika Mbali zaidi..toka kwenye "Upenzi" hadi leo kwenye "Cousins" mixer "Ushemlake" ni mbali sana nimetoka nae...narudia tena kusema nina BOOooonge la furaha na kila sababu ya kumwambia "Happy birthday Sepetu wa sepetunga" wish you all the best mama.....Maisha marefu yenye amani na Mafanikio tele..........wote tuseme Aaaamen!Hicho ndicho alichokiandika bwana Diamond platinum katika site yake.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.