Baada ya kubwaga vibaya na Taylor Swift, Dj maarufu Calvin Harris ameripotiwa kuanzisha mahusiano na rnb staa Tinashe.
Tetesi zinasema Tinashe na
Harris walikutana studio kwa mara ya kwanza mwaka 2014 walivyofanya
wimbo wa “Dollar Signs.” na wakati huo walihusishwa na mchongo
wakumuandikia wimbo Rihanna.
Riri na Harris walionekana kwenye bata lao huko Malibu jumamosi hii.

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment