Korede Bello mwimbaji wa Marvins records ameongelea msanii mwenzake Reekado Banks kushinda tuzo ya Next Rated.
Tuzo ya Next Rated ya Headies ni tuzo inayopewa kwa msanii
anayetegemewa kuwa staa na kuwa na mafanikio makubwa zaidi miaka
ijayo,hii ni tuzo muhimu sababu wote walioshinda wamekuwa na mafanikio.
Korede Bello Anasema “Reekado Banks amefanya kazi sana mwaka 2015 na
anastahili kuishinda tuzo hio,msanii mwingine ni Kiss naye kafanya
vizuri na Lil Kesh, ila isiwe issue kubwa kama unakosa tuzo hii sababu
ni kura za mashabiki ndio zinakupa ushindi” .
Kuhusu sababu ya yeye kuto andika chochote mtandaoni kuhusu issue hii
Korede Bello anasema “Nasomea Mass Communication kwenye chuo cha
Nigerian Institute of Journalism, siwezi kuongea au kusema kitu kuhusu
issue ambayo ndio kila mtu anaongelea kwa wakati huo”.
Bongo Forest
Naija
Umuhimu wa hii tuzo ya Next Rated umesababisha kugombana kwa Olamide na Don Jazzy.

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment