Breaking News
recent

Rammy Galis kufikishwa mahakamani

Mcheza filamu za kitanzania Rammy Galis ambaye amejizolea umaarufu mkubwa kwenye filamu kama vile Snitch na chausiku anadaiwa kukamatwa huko Arusha na huenda akafikishwa mahakamani november 17 mwaka huu
chanzo chetu kiilizipata info kwa mmoja kati ya watu walioshuudia timbwili zima wamesema mcheza filamu huyo amekubwa na soo hilo maeneo ya Njiro mjini humo Mpaka sasa bado tuanendelea kufatilia sakata hilo na hivi punde tutawajulisha kinachoendelea, Rammy Galis anatarajia kuachia filamu yake mpya inayokwenda kwa jina la Vocha akiwa na msanii Hemedi na wengine wengi na inasambazwa na steps entertainment usikose nakala yako.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.