Breaking News
recent

Ciara na Future wapata mtoto wa Kiume, wampa jina la baba yake

Ni mastaa ambao walipoanza mapenzi yao wengi waliona kama wanafanya hivyo ili kutengeneza headlines tu zitakazofanya wauze muziki wao lakini May 19 2014 mastaa hawa wamepata mtoto wao wa kwanza pamoja japo akiwa ni mtoto wa nne kwa Future. Mtoto alizaliwa Los Angeles Marekani na tayari saa kadhaa baadae mama yake akashea instagram picha ya kwanza ya mtoto huyu japo ni nusu picha.


Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.