Leo hii mtandaoni imezagaa picha hii inayomuonesha Davido akiwa amelala huku binti akijifotoa pamoja nae.
Inasemekana kwamba nyota huyo wa Skelewu toka Nigeria alipigwa picha
hiyo na mwanadada huyu anayedaiwa kuwa ni Mbongo tena wa Bongo muvi
kipindi alipokuja hapa nchini kwetu.
Kwa jinsi inavyoonesha picha hiyo ni chumbani tena wakati wa usiku
maana hata shuka limehusika hapo ndani na hata hizo pozi la wawili hawa
na utata kimtindo, lakini swali linabaki ni kweli huyu dada ni Mbongo?
Bongo Forest
Bongo movie
Skendo
Picha ya Davido akiwa na Mdada wa kibongo kitandani yavuja Mtandaoni

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment