Breaking News
recent

Hii ndio nyumba mpya ya Rick Ross, ina vyumba 106

Kiongozi wa Maybach Music Group Rick Ross ni kweli kwa sasa anaishi maisha ya certified boss baada ya kuripotiwa kudondosha mamilioni ya dola kununua  bonge la mansion lililokuwa likimilikiwa na mcheza ndondi wa zamani  Evander Holyfield, kwa ripoti zinavyodai, jumba hilo kwasasa linamilikiwa na Ricky Ross.

 Jumba hilo lina vyumba 106 na lina ukubwa wa square meter 54,000 lililokaa kwenye eneo lenye ukubwa wa heka 235, na kwa ajili ya burudani tu mule ndani, kuna ukumbi wa sinema, pamoja na bowling. chumba cha kulia chakula cha usiku kinachukua watu 100 au ricky ross mmoja na wageni kumi.mwanzono Hollyfield alipoongea na AJC alisema kuwa manssion hiyo ina private swimming pool kubwa marekani nzima.
 kwa ukubwa huo Bawse atatakiwa kuachia $ million 1 kila mwaka kwasababu tu ya matengenezo ya kawaida ya jumba hilo, ukijumlisha na malipo ya jumba hilo, gharama za maisha,malipo ya magari yake na gharama zingine alizonazo kwa nyumba zingine anazomiliki
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.