Breaking News
recent

Video: Wema Sepetu akiporomosha matusi ya nguoni kwa mlinzi baada ya gari lake kuibiwa power window nyumbani kwake

Msanii nyota wa Bongo movie, Wema Sepetu, amejikuta akitoa matusi ya nguoni kwa mlinzi wake baada ya kukuta gari lake likiwa limeibiwa power window na betri la gari lake kuchomolewa.
hali hiyo imetokea nyumbani kwake Kijito nyama, pale alipokuwa akijaribu kuwasha gari lake na kuondoka.

video hii inaonyesha majirani waliposkia kelele za matusi kutoka kwa mwanadada huyo waliamua kupanda sehem na kuchukua video ya kilichokuwa kikiendelea kwa kujificha.
                       Wema akimkimbiza mfanyakazi wake huku akiwa na beseni lenye maji

               
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.