Breaking News
recent

Daktari athibitisha kuwa Hali ya M2 the P inaendelea vizuri na kwa sasa anaongea

habari zenye uhakika kutoka kwa Dr aliekuwa ICU, katika hospitali ya St Hellen Joseph, zimethibitisha kuwa msanii aliekuwa na Ngwea wakati mauti yanamkuta, ambae yeye pia alikua hoi hospitali, anaendelea vizuri, na anaongea kwa sasa, ila uchunguzi wa kile kilichosababisha kufikishwa hospitali hapo bado unaoendelea.
hapa Dr anaongea kuhusu maendeleo ya M 2 the P

          hapa anazungumzia kilichosababisha ugonjwa huo wa kumyanya afikie kuwa ICU

baada ya kuongea nae machache hayo, tulimuomba kuongea na mgonjwa, lakini Dr alikataa na kusema kuwa kwa kuwa anaongea basi tuongee na ndugu zake ambao wanakuja kumjulia hali hospitalini hapo
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.