Hiphop star wa dunia, rapper
Jay-Z alikua mmoja kati ya waliohudhuria mechi ya Arsenal vs Manchester
United jana zilitoka 1-1 ambapo pembeni yake, Jay Z alikua na mwimbaji
ambae ni Lead singer wa Coldplay Chris Martin.
Hii ni mara nyingine tena kwa
Jay Z kuhudhuria mechi ambayo Arsenal inacheza, aliwahi kuhudhuria ya
Man City vs Arsenal kwenye uwanja wa Etihad mwaka 2010 akiwa mgeni
aliealikwa na Man City ambapo baadae ripoti za waandishi zilisema Jay Z
ni shabiki wa Man City.
Alipoongea na Jarida la
Arsenal, J alisema… baada ya ile mechi naona kila mwandishi aliripoti
kwamba mimi ni shabiki wa Man City, hapana…. kila mmoja U.K anajua
kabisa kwamba mimi ni shabiki wa Arsenal”
No comments:
Post a Comment