Breaking News
recent

Justin Bieber Majanga

Justin Bieber huenda akaingia katika matatizo tena na vyombo vya sheria hasa baada ya basi ambalo analitumia katika ziara yake kupekuliwa na polisi na kukutwa na dawa za kulevya ambazo bado
hazijathibitishwa kuwa ni aina gani. Mpaka sasa bado hakuna mtu yoyote ambaye amekamatwa kwa tukio hili kutokana na maelezo kuwa hakuna mtu aliyekuwepo katika basi wakati linapekuliwa.
 taarifa za chini ya kapeti zinaweka wazi kuwa, Polisi walipata bastola ndani ya basi hilo na kwasasa wanadadisi kama mmiliki wake ana kibali cha kuwa na silaha hiyo.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.