Rumor has it kwamba katika uzinduzi wa kichupa cha msanii Madee –
Pombe, maisha club siku ya Jumamosi iliyopita msanii wa kizazi kipya
Chid Benzi alikuwa nusura azichape na Tunda Man.
Mohamed Jaku amefanya mahojiano na mastaa hao kubaini ukweli wa jambo hilo, na mpango mzima ulikuwa hivi;
CHID BENZI AKIFUNGUKA
No comments:
Post a Comment