Breaking News
recent

Prezzo na Goldie kufunga ndoa February 9

Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ya nchini Nigeria, rapper Jackson Makini maarufu kama Prezzo, anatarajia rasmi kufunga ndoa na mwanamuziki wa Nigeria Goldie February 9.
Baada ya taarifa hiyo kuendelea kuenea katika mitandao pia inasemakana kwamba harusi hiyo itafanyika jijini Lagos nchini Nigeria.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.