Kwa mujibu wa mitandao mbalimbali ya nchini Nigeria, rapper Jackson
Makini maarufu kama Prezzo, anatarajia rasmi kufunga ndoa na mwanamuziki
wa Nigeria Goldie February 9.
Baada ya taarifa hiyo kuendelea kuenea katika mitandao pia inasemakana kwamba harusi hiyo itafanyika jijini Lagos nchini Nigeria.
Baada ya taarifa hiyo kuendelea kuenea katika mitandao pia inasemakana kwamba harusi hiyo itafanyika jijini Lagos nchini Nigeria.
No comments:
Post a Comment