Msanii rapper wa Bongo Fleva maarufu kama Nay wa mitengo baada ya kutoa
ngoma yake inayofahamika kwa jina la Wamenichokoza sasa siku za hivi
karibuni ndiyo alikuwa akifanya video ya ngoma hiyo na video hiyo
amefanyia maeneo ya makaburini.Kwa hiyo wale mashabiki wa Nay kaa tayari
kwa ujio mpya kutoka kwa Nay.
Bongo Forest
Nay wa Mitego
Pictures: Video mpya ya Nay wa Mitego kufanyika Makaburini "Wamenichokoza"

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment