Aliewahi kuwa muigizaji wa movie zakibongo kutoka kikundi cha sanaa cha
kaole (mlopelo) afariki dunia mchana wa leo katika hospitali ya
Temeka.msiba upo nyumbani kwao Temeke Wailes mtaa wa Boko. Kwa mijibu wa
familia ya marehem Mlopelo atazikwa mapema kesho saa nne asubuh.

Mohamed Jaku
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment