Breaking News
recent

Hii ndiyo Fid Style Friday wiki hii, Fid Q akiwa na JCB

Najua nikimzungumzia mtu mzima Fareed Kubanda a.k.a Fid Q basi utakuwa unamfahamu kama ni moja kati ya wasanii ambao wanatokea pande za Rock City Mwanza Mwanza pia ni msanii mwenye mashairi mazuri ya hip hop na ndiyo maana ana hits na ngoma kali kibao hapa Tzee na zinakubali ile mbaya.Tunafahamu kwamba Fid Q ana kipindi chake ambacho kinafahamika kwa jina la Fid freestyle huwa kinarushwa siku ya ijumaa sasa wiki hii katika kipindi chake atakuwa na mtu mzima JCB kama unavyoona hapo walikuwa waki record kipindi hicho cha Fid freestyle.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.