Mkurugenzi wa Kampuni ya I-View Studios, Raqey Mohammed ( kushoto) na msanii Diamond Platnumz wakisaini mkataba wa kufanya kazi pamoja.Wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Diamond, Paul Mgaya, Mwanasheria wa I-View Dr. Peter Aringo na Mkurugenzi wa One Touch Solutions, Petter Mwendapole
MSANII wa kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameingia mkataba na kampuni ya I-View Studios ya ili wasimamie kazi zote kwa muda wa miaka miwili.
Mkurugenzi wa kampuni ya One Touch Solution ya mjini Dar es Salaam, Petter Mwendapole amesema I-View itasimamia mikataba yote ya kazi zote za msanii huyo na yeyote atakayetaka kufanya kazi na Diamond kwa sasa itabidi awasiliane I-View.
No comments:
Post a Comment