Breaking News
recent

Diamond Platnumz aingia mkataba na I-VIEW Media

Mkurugenzi wa kampuni ya I-View Studios, Raqey Mohammed akibadilishana mkataba na Msanii Diamond Platnumz baada ya kusaini. Wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Diamond, Paul Mgaya, Mwanasheria wa I-View Dr. Peter Aringo  na Mkurugenzi wa One Touch Solutions, Petter Mwendapole.
Mkurugenzi wa Kampuni ya I-View Studios, Raqey Mohammed ( kushoto)  na msanii Diamond Platnumz wakisaini mkataba  wa kufanya kazi pamoja.Wanaoshuhudia ni Mwanasheria wa Diamond, Paul Mgaya, Mwanasheria wa I-View Dr. Peter Aringo  na Mkurugenzi wa One Touch Solutions, Petter Mwendapole

MSANII wa kimataifa wa Tanzania, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameingia mkataba na kampuni ya I-View Studios ya ili wasimamie kazi zote kwa muda wa miaka miwili.
Mkurugenzi wa kampuni ya One Touch Solution ya mjini Dar es Salaam, Petter Mwendapole amesema I-View itasimamia mikataba yote ya kazi zote za msanii huyo na yeyote atakayetaka kufanya kazi na Diamond kwa sasa itabidi awasiliane I-View.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.