Breaking News
recent

Chris Brown na Karrueche wamwagana

                                         Chris brown akiwa na Karrueche enzi zile

Picha hii sasa ndipo ilileta maswali mengi sana kwa mashabiki wa muziki walijiuliza je mtu mzima Chris brown amerudiana na Rihanna katika Uhusiano wao baada ya kuonekana katika show ya Jay z ambayo ilifanya katika ukumbi wa Barclays Center.Sasa baada ya Karrueche kuona hivyo aliamua kuandika ujumbe katika ukurasa wake wa twitter

Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.