Breaking News
recent

Jaffarai kufungua Car Wash

Habari zilizotufikia ni kwamba Jafarai baada ya kufanya kazi  za muziki kwa muda mrefu sana  hapa Tanzania hata nje ya bongo.Sasa amekaa na kuwaza kwamba kwanini asifanye kitu ambacho hata mashabiki wake watampa support  juu ya kitu hiko anachotaka kukiifanya au kukianzisha hapa bongo.Sasa juzi juzi tulisikia tetezi kwamba ana mchakato wa kuanzisha car wash yake Je ni kweli.Huyu hapa anafunguka kama ifuatavyo kusema kweli ndiyo nina mchakato wa  kufungua car wash yangu ambayo itakuwa inapatikana maeneo ya mikocheni Oil com karibia na TMJ lakini nitaifungua rasmi  jumapili ijayo.ninachoomba wasanii hata mashabiki wangu waje katika Car wash yangu  ili tupeane support.na kuhusiana na muziki nitakuwa ninafanya kama kawaida.Hayo ndiyo maneno ya mtu mzima Jafarai baada ya kufunguka kuhusiana na kufungua car wash yake.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.