Breaking News
recent

Huu ndio muonekano wa Website ya Dully Sykes


Msanii anayejulikana kwa jina la Dully skyes anayetamba na  nyimbo inayofahamika kwa jina la mtoto wa kariakoo.Ameamua kufungua website yake mpya ambayo itakuwa akionyesha kazi zake pamoja na burudani mbalimbali anazozifanya kuanzia video,muziki wa hapa bongo hata kazi za nje ya bongo pia ukitaka kazi zake dully kwa sasa unaweza ukaingia www.dulisyx.com.Huo ndiyo mtandao mpya wa msanii anayejulikana kwa jina la Dully skyes.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.