Breaking News
recent

Exclusive: Shetta ajaaliwa mtoto wa kike

                                          Shetta na mkewe Leila
Msanii anaye hits na  kibao cha nidanganye  danganye yeye na  mkewe Leila  wamefanikiwa kupata mtoto wa kike jana katika hospital ya St. monica katika nyakati za jioni.tulimuliza Je shetta mtoto wako ungependa kumpa jina gani shetta alifunguka kama ifuatavyo kusema kweli nitampa jina la kyla kwasababu toka mke wangu anajauzito wangu nilimwambia kama tukifanikiwa kupata mtoto wa kike basi tutampa jina la Kyla.Na ndiyo maana nimempa jina ilo pia napenda kutoa shukrani kwa mwenyezi mungu kunipatia mtoto na ndio wasaa wangu wa kuitwa Baba wa familia.
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.