Breaking News
recent

Hii ndio Ndege mpya ya TP Mazembe...!

Hii ni moja kati ya ndege zinazomilikiwa na club ya soka ya Congo DRC Tp Mazembe ambayo wanacheza Watanzania Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu, ndege nyingine waliyonayo ndio ilipata ajali ndogo zaidi ya wiki mbili zilizopita na wachezaji wote kunusurika akiwemo Thomas Ulimwengu, ilisumbua wakati wa kupaa ikaingia porini kidogo.
                                
Kwa nyuma hiyo ndege ndio inaonekana na maandishi ya IN GOD WE TRUST, ni mali ya club hiyo tajiri ya Congo DRC.

                                
Mohamed Jaku

Mohamed Jaku

No comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.